SHILOLE ASEMA UCHEBE HANIFAI TENA

Mwanamuziki Zena Mohammed maarufu Shilole ametangaza kuachana na mume wake, Uchebe, kwa sababu amekuwa akimpiga mara kwa mara bila sababu za msingi. Aidha, ameomba radhi kwa kuuaminisha umma kuwa ndoa yake haikuwa na matatizo huku akificha ukweli kuwa alikuwa akipigwa na mumewe.


Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form