Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema wametoa taarifa yao juu ya viongozi wa Chama hicho kuzuiwa nje geti uwanja wa Uhuru walipofika kwa ajili ya kushiriki shughuli ya kitaifa ya kumuaga Rais wa awamu ya tatu Hayati Benjamin Mkapa.
Tags
BREAKING NEWS