Watu Watatu wamefariki dunia akiwemo Katibu Tawala (DAS) wa wilaya ya Handeni mkoani Tanga Mwalimu Boniface Maiga Jumaa baada ya Gari mbili kugongana mkoani Dodoma usiku wa kuamkia leo.
Ajali hiyo pia imesababisha majeruhi kadhaa akiwemo Mbunge wa Handeni Mhe.Omary Abdallah Kigoda.
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Dodoma SACP Gilles Muroto amethibisha.
SOURCE : ITV BreakingNews
Ajali hiyo pia imesababisha majeruhi kadhaa akiwemo Mbunge wa Handeni Mhe.Omary Abdallah Kigoda.
Kamanda wa Polisi wa mkoa wa Dodoma SACP Gilles Muroto amethibisha.
SOURCE : ITV BreakingNews
Tags
BREAKING NEWS