RATIBA YA KAMPENI ZA RAIS MAGUFULI

Ratiba ya kampeni za mgombea urais wa CCM Dkt. John Magufuli katika mkoa wa Dar es Salaam kuanzia kesho Oktoba 12,hadi 14, 2020. Mbali na kampeni hizo za mgombea huyo, Oktoba 13, 2020 Rais John Magufuli atawaongoza Watanzania kupokea gawio la zaidi ya bilioni 100 kutoka Barrick Gold.




Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form