BARCELONA YAMRUHUSU MESSI KUHAMIA MANCHESTER CITY

Rasmi Barcelona imekubali yaishe kwa Lionel Messi na imebariki uhamisho wake kujiunga na Manchester City katika dirisha lijalo la majira ya kiangazi. Messi (33) alikuwa anataka kuondoka katika dirisha lililopita, lakini dili lilifeli kwenye dakika za mwisho.

======================================

Barcelona have officially agreed to end Lionel Messi and have approved his transfer to Manchester City in the next summer window. Messi (33) wanted to leave in the last window, but the deal failed in the final minutes.





Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form