MAGUFULI ASEMA MSIHANGAIKE KUNIPIGIA KURA JINA LANGU NI LA KWANZA KABISA

Mgombea Urais wa JMT kupitia CCM, Dkt. John Magufuli amesema jina lake na la Mama Samia lipo juu katika karatasi za kupigia kura hivyo wananchi wasihangaike kuangalia kwingine


Amesema, "Wewe angalia juu utalikuta jina la John Pombe Joseph Magufuli, utalikuta la Mama Samia Suhulu, utakuta na box la kuweka 'tick'. Wewe weka 'tick' kunja karatasi lako, dumbukiza kwenye box nenda ukampumzike nyumbani"


Katika mkutano wa kampeni uliofanyika Korogwe Mkoani Tanga, Dkt. Magufuli amewaambia wananchi wasihangaike kuangalia kwengine kwasababu wale hawawahusu


Amewaelekza wananchi kuwa, wakati wa Uchaguzi ni wakati wa kuamua kama wanataka maendeleo au 'blah blah'

======================================

JMT Presidential Candidate through CCM, Dr. John Magufuli said his name and that of Mama Samia are high on the ballot papers so citizens should not worry about looking elsewhere.


He said, "You look up you will find the name of John Pombe Joseph Magufuli, you will find the name of Mama Samia Suhulu, you will find a box to put a 'tick'.


At a campaign rally held in Korogwe, Tanga Region, Dr. Magufuli has told the people not to worry about looking elsewhere because those are not about them


He instructed the people that, during the election it is time to decide whether they want development or 'blah blah'



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form