The country's Police Chief, IGP Simon Sirro has said, he felt bad for Yanga Sc beating the Security team in a recent game
He said the Police Force is the one guarding the security of the country and not Yanga Sc, so if the security forces have played with any team the citizen should support the Police as they are the ones who are protecting the security
He said this while speaking to reporters in Arusha explaining the security situation to Arusha Moka during the General Election
He also urged the youth not to engage in acts of violence in the day of the General Elections as the Police Force is well prepared.
====================================================
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema, amejisikia vibaya Yanga Sc walivyoifunga timu ya Usalama kwenye mchezo wa hivi karibuni
Amesema Jeshi la Polisi ndio wanaolinda usalama wa nchi sio Yanga Sc, hivyo ikitokea Usalama wamecheza na timu yoyote raia inapaswa washabikie Polisi kwa kuwa ndio wanaolinda usalama
Ameyasema hayo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Arusha akiwaelezea hali ya usalama kwa Moka wa Arusha kipindi hiki cha Uchaguzi Mkuu
Aidha amewataka vijana kutojihusisha na shughuli za uvunjifu wa amani siku ya Uchaguzi Mkuu kwa kuwa Jeshi la Polisi limejiandaa vizuri