MAMLAKA YA HIFADHI ZA TAIFA YATOA TAKWIMU YA MOTO MLIMA KILIMANJARO

The aerial inspection conducted today October 16.2020 this morning revealed that the fire that was burning on Mount Kilimanjaro has been controlled mainly in the lowlands. In addition the Soldiers have been dispersed throughout the mountain areas with greater caution.

=====================================

Ukaguzi wa anga uliofanywa leo Oktoba 16.2020 majira ya asubuhi umebaini kuwa moto uliokuwa ukiwaka mlima Kilimanjaro umedhibitiwa hasa kwenye maeneo ya tambarare juu ya mlima. Aidha vikosi vya Askari vimetawanywa katika maeneo yote ya mlima kwa tahadhari zaidi.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form