The Zanzibar Electoral Commission (ZEC) has said the misrepresentation of names, photographs or gender of some voters in the voter register has been attributed to the voters themselves failing to verify their information when the work was done.
======================================
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), imesema kukosewa kwa majina, picha au jinsia kwa baadhi ya wapigakura kwenye daftari la wapigakura kumechangiwa na wapigakura wenyewe kushindwa kufanya uhakiki wa taarifa zao wakati kazi hiyo ilipofanyika.
Tags
UCHAGUZI