KNOW OMAYRA SANCHEZ, A WOMAN WHO HAS EXPERIENCED SEVERE PROBLEMS BEFORE DEATH FOUND HER

OMAYRA SÀNCHEZ is a woman who was born on August 28, 1972 and died 16 November 1985 in ARMERO-COLUMBIA.



More than 2500 people died in the tragedy but in the event he was made the headline in the incident. How? How was it?



When the explosion started, daughter OMAYRA is said to have heard it and when she was growing up she was trying to escape to avoid the volcanic eruption. an icy area in its volcano. To keep him there when the rescue squad arrived they tried their best but failed due to the poor condition of the rescue equipment at that time.



The girl's rescue operation lasted for three (3) days and the day she drowned on November 13, 1985. She stayed there when the rescue squad arrived. They tried their best but failed due to the poor condition of the rescue equipment at that time.




The photo was taken by a French photographer named FRANK FOURMER who grew up on the scene and said that "It was a sad event that I have never witnessed in my life after seeing the feelings of the child struggling to break free while crying while OMAYRA tried to save him rejoicing that he feels he will be saved and begins to sing with joy to feel that he will soon be saved from the tragedy. "



"At one point he was seen praying and thanking the rescuers because he believed they would save him but the days went by and until the third day arrived which was 16 November 1985 he started crying because he was desperate for his rescue blood started to bleed and his eyes turned black. Said the photographer



Mr. FRANK FOURMER said He took the picture as evidence for those who would say the tragedy is not big it has become a picture of the tragedy and especially for the people who grew up following the tragedy. The girl sat in the water on 13 Nov 1985 and died 16 Nov 1985 3 individual child



========================================================================

OMAYRA SÀNCHEZ ni mwanamke ambaye alizaliwa 28 August 1972 na alikufa 16 November 1985 huko ARMERO-COLUMBIA.OMAYRA alikua ni msicahana wa miaka 13 huko Columbia na alikua ni mwathirika wa janga la mlipuko wa Volcano wa "Nevado Del Ruiz"la mwaka 1985.



Zaidi ya watu 2500 walikufa kwenye janga hilo ila kwa tukio lake akafanywa ndio kichwa cha habari katika tukio hilo.  Kivipi? Ilikuwaje? 



Wakati mlipuko unaanza binti OMAYRA inasemekana waliusikia na alipokua anajitahidi kukimbia ili Aepukane na gharika hiyo ya volkano kwa bahati mbaya alijikuta ameingia ndani ya shimo lililopo karibu na nyumba yao,shimo ambalo lilikua na maji mengi na ndani yake kulikua na uchafu,uchafu ambao ulimkwamisha kutoka katika eneo hilo wenye barafu ndani yake ya volcano. Kulimfanya abaki hapo lilipokuja jeshi la uokowaji walijitahidi sana kadri ya uwezo wao lakini ilishindikana kutokana na hali duni ya vifaa hivyo vya uokowaji muda huo



Zoezi la uokowaji la binti huyu lilikua la muda wa siku tatu (3) siku aliyozama alizama 13 November 1985 Kulimfanya abaki hapo lilipokuja jeshi la uokowaji walijitahidi sana kadri ya uwezo wao lakini ilishindikana kutokana na hali duni ya vifaa hivyo vya uokowaji muda huo



Picha hii ilipigwa na mpiga picha mmoja wa kifaransa aliyeitwa FRANK FOURMER naye alikua kwenye tukio hilo la tukio alisema kuwa "Lilikua ni tukio la kusikitisha ambalo sikuwahi kushuhudia katika maisha yangu baada ya kuona hisia za mtoto yule akihangaika kujinasua huku Akiwa analia wakati OMAYRA wakijitahidi kumuokoa alikua akifurahi akihisi ataokolewa na kuanza kuimba kwa furaha kuhisi mda wowote ataokolewa katika janga hilo"



"Muda mwengine alionekana akisali akiwashukuru waokowaji kwani aliamini watamuokoa ila siku zilivyozidi kwenda na Mpaka siku ya tatu kufika ambayo ilikua ni tarehe 16 November 1985 ndipo alipoanza kuwa analia kwa sababu alikua ameshakata tamaa ya uokowaji wake damu zilianza kumtoka na kuanza kubadilika macho yake rangi kuwa meusi" Alisema mpiga picha huyo 



Bwana FRANK FOURMER alisema Alipiga picha hiyo ili iwe kama ushahidi kwa wale ambao wangesema janga hilo sio kubwa imekua picha ya simanzi na sana kwa watu waliokua wanafuatilia janga hilo.Binti huyu alikaa kwenye maji tarehe 13 Nov 1985 na kufa 16 Nov 1985 alikaaa muda wa siku 3 binafsi mtoto wathirika wa janga la mlipuko wa Volcano wa "Nevado Del Ruiz"la mwaka 1985.Zaidi ya watu 2500 walikufa kwenye janga hilo ila kwa tukio lake akafanywa ndio kichwa cha habari katika tukio hilo.  Kivipi? Ilikuwaje? 

                               

Wakati mlipuko unaanza binti OMAYRA inasemekana waliusikia na alipokua anajitahidi kukimbia ili Aepukane na gharika hiyo ya volkano kwa bahati mbaya alijikuta ameingia ndani ya shimo lililopo karibu na nyumba yao,shimo ambalo lilikua na maji mengi na ndani yake kulikua na uchafu,uchafu ambao ulimkwamisha kutoka katika eneo hilo wenye barafu ndani yake ya volcano Kulimfanya abaki hapo lilipokuja jeshi la uokowaji walijitahidi sana kadri ya uwezo wao lakini ilishindikana kutokana na hali duni ya vifaa hivyo vya uokowaji muda huo

                               

Zoezi la uokowaji la binti huyu lilikua la muda wa siku tatu (3) siku  alizama 13 November 1985 Kulimfanya abaki hapo lilipokuja jeshi la uokowaji walijitahidi sana kadri ya uwezo wao lakini ilishindikana kutokana na hali duni ya vifaa hivyo vya uokowaji muda huo

                               

Picha hii ilipigwa na mpiga picha mmoja wa kifaransa aliyeitwa FRANK FOURMER naye alikua kwenye tukio hilo la tukio alisema kuwa "Lilikua ni tukio la kusikitisha ambalo sikuwahi kushuhudia katika maisha yangu baada ya kuona hisia za mtoto yule akihangaika kujinasua huku Akiwa analia wakati OMAYRA wakijitahidi kumuokoa alikua akifurahi akihisi ataokolewa na kuanza kuimba kwa furaha kuhisi mda wowote ataokolewa katika janga hilo"

                               

"Muda mwengine alionekana akisali akiwashukuru waokowaji kwani aliamini watamuokoa ila siku zilivyozidi kwenda na Mpaka siku ya tatu kufika ambayo ilikua ni tarehe 16 November 1985 ndipo alipoanza kuwa analia kwa sababu alikua ameshakata tamaa ya uokowaji wake damu zilianza kumtoka na kuanza kubadilika macho yake rangi kuwa meusi" Alisema mpiga picha huyo 

                                        

Bwana FRANK FOURMER alisema Alipiga picha hiyo ili iwe kama ushahidi kwa wale ambao wangesema janga hilo sio kubwa imekua picha ya simanzi na sana kwa watu waliokua wanafuatilia janga hilo.Binti huyu alikaa kwenye maji tarehe 13 Nov 1985 na kufa 16 Nov 1985 alikaaa muda wa siku 3 binafsi mtoto 


                                         

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form