WATU 18 WAFARIKI BAADA YA BASI KUGONGA TRENI

Watu 18 wamefariki Dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa Nchini Thailand baada ya Basi ambalo lilikuwa limebeba Watu waliokuwa wanaenda kwenye sherehe ya Dini, kuligonga Treni na kisha Basi na Treni vyote vikapinduka “kulikuwa na mvua Dereva wa Basi akafeli kuona mbele”




Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form