MKUU WA WILAYA AELEZEA CHANZO CHA AJALI TEMEKE

Watu watano wamefariki dunia na wengine 10 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha daladala na lori la mchanga katika eneo la Chang'ombe jijini Dar es Salaam. Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amethibitisha.




Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe amesema chanzo cha ajali iliyotokea asubuhi ya leo Oktoba 5, 2020 eneo la Chang’ombe kati ya Daladala na lori la mchanga ni mwendo kasi wa daladala na kwamba dereva wake amekimbia na polisi inaendelea kumtafuta.





Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form