MGOMBEA AKIPITILIZA MUDA WA KAMPENI ATACHUKULIWA HATUA KISHERIA

 Msimamizi wa uchaguzi katika majimbo ya Moshi Mjini, Moshi Vijijini na Vunjo, Michael Mwandezi, amewataka wananchi wote wanaofika kwenye mikutano ya kampeni kusikiliza sera za wagombea kuondoka katika viwanja vya kampeni baada ya kutimia saa 12 jioni ili kutii sheria za uchaguzi.


"Kwa mujibu wa maelekezo ya Tume ya Uchaguzi kwa vyama vya siasa na wagombea ya mwaka 2020, mgombea au chama chake hakipaswi kubandika mabango kwenye eneo la mtu binafsi bila ridhaa yake"Michael Mwandezi, Msimamizi uchaguzi majimbo matatu ya Moshi Mjini, Vunjo na Moshi Vijijini

"Ikitokea mgombea amepitiliza muda wa kampeni wa saa 12:00 jioni, itahesabika ni kuvunja sheria na kusanyiko lolote baada ya muda huo halitahesabika kama ni mkutano wa kampeni, ni kosa kisheria"Michael Mwandezi, Msimamizi wa uchaguzi majimbo ya Moshi Mjini,Moshi Vijijini na Vunjo







Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form