BODI YA LIGI NCHINI YAFANYA MABADILIKO YA MCHEZO KATI YA SIMBA NA YANGA

Bodi ya Ligi Kuu Tanzania (Tplboard) imefanya mabadiliko katika mchezo Na. 61 wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania msimu wa 2020/2021 kati ya Yanga Sc na Simba Sc uliokuwa uchezwe Oktoba 18.Sasa utachezwa Novemba 7, 2020 saa 11:00 jioni, Uwanja wa Benjamin Mkapa, DSM.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form