Vijana wanaopatiwa mafunzo ya mgambo wametakiwa kuwa walinzi wa mipaka ya nchi na kutoruhusu wahamiaji haramu kuingia. Kauli hiyo imetolewa na mkuu wa wilaya ya Bukoba, Deodatus Kinawilo wakati wa kufungua mafunzo ya mgambo kwa vijana 132 wa kata ya Nyakibimbili.
Tags
BREAKING NEWS