Rwanda imeidhinisha kulima bangi na kuisafirisha nje ya nchi, lakini matumizi yake ndani ya nchi yameendelea kupigwa marufuku. Serikali ya nchi hiyo inakusudia kuongeza mapato kutoka kwenye soko la dunia la bidhaa hiyo lenye thamani ya $345 bilioni (TZS trilioni 800).
Tags
BREAKING NEWS