RAIS WA TFF AUNDA KAMATI YA USHINDI WA TIMU YA TAIFA STARS

Rais wa TFF, Wallace Karia ameunda kamati ya ushindi ya timu ya Taifa (Taifa Stars) itakayoongozwa na Ghalid Said ambapo miongoni mwa wajumbe ni Haji Manara na Beatrice Singano. Tanzania itaikabili Tunisia katika mchezo wa kuwania kufuzu AFCON mwaka 2021 utakaochezwa Tunisia.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form