RAIS MAGUFULI AWATAKA WAALIM WA SHULE ZA MSINGI KUPUUZIA TAARIFA ZINAZOSAMBAA

 Rais Dkt. John Magufuli amewataka walimu kupuuza taarifa inayoeleza kuwa serikali imefuta mafunzo ya ualimu wa shule za msingi na awali kwa ngazi ya cheti na kuwa mafunzo yataanzia diploma. Rais amesema tangazo hilo ni la kipumbavu na kwamba ataendelea kuwa pamoja na walimu wote.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form