LADY JAYDEE ADAIWA KUHAMASISHA UVUTAJI BANGI

 Wimbo wa Lady JayDee, One Time, huenda ukafungiwa na BASATA kwa madai ya kuhamasisha uvutaji bangi. Mamlaka hiyo yenye dhamana ya kusimamia maudhui ya sanaa imesema kuwa limepokea malalamiko kutoka kwa wadau wa muziki na wanalifanyia kazi suala hilo.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form