"Nimevamiwa studio na kupigwa, kufanyiwa uharibufu wa studio nzima, kuvunjiwa vifaaa na wanaodai wao ni walinzi shirikishi, nimesikitishwa na nimekatishwa tamaa mimi kama kijana ninayetafuta riziki, tunahangaika mwisho wa siku tunavunjwa moyo" Producer S2Kizzy.
Tags
MUSIC