POLEPOLE ASEMA UPINZANI HAWAWEZI KUONGEZEKA

Katibu Muenezi wa CCM, Humohrey Polepole amesema upinzani huwa hauongezeki, ukiona kitakwimu umeongezeka huwa inakuwa ni matokeo ya CCM wakiwa na mgogoro wa ndani


CCM wakiwa na mgogoro wa ndani ndio huamia vyama vingine kitu ambacho hufanya takwimu zioneshe kuwa upinzani umeongezeka


Anasema kwa awamu hii ya Dkt. Magufuli hakukuwa na nafasi ya kuwa na mgogoro wa ndani ya CCM , ndiyo maana mwaka huu 2020 upinzani haujaweza kuongezeka


Aliyasema hayo akiwa anajibu maswali ya Waandishi wa Habari alipokuwa akizungumza nao Zanzibar, Jana








Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form