MWANARIADHA KUTOKA KENYA ASHINDA LONDON MARATHON

Mwanariadha wa Kenya Brigid Kosgei amefanikiwa kushinda mbio za London marathon upande wa Wanawake kwa kukimbia kwa muda wa saa 2:18:58 huku Sara Hall akimaliza wa pili na Mkenya mwingine Ruth Chepngetich akimaliza wa tatu.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form