Witness Zacharia (50), aliyekuwa mkazi wa mtaa wa Elimu, Kata ya Nyankumbu mkoani Geita, ameuawa kwa kukatwa na mapanga siku ya jana Oktoba 6, 2020, na mtoto wake wa kambo anayeitwa Visiconsela Mengane (30) kwa tuhuma za kishirikina.
Tags
BREAKING NEWS