Rais wa Malawi Dkt Lazarus Chakwera tayari amekwishawasili nchini, ambapo amepokelewa na mwenyeji wake John Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam.
Tags
BREAKING NEWS
Rais wa Malawi Dkt Lazarus Chakwera tayari amekwishawasili nchini, ambapo amepokelewa na mwenyeji wake John Magufuli katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNIA), jijini Dar es Salaam.