Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella akiwa na viongozi mbalimbali, Mkuu wa Wilaya ya Magu, Katibu Mkuu wa Uchukuzi, Mtendaji Mkuu wa Temesa katika siku ya pili ya kukingiza kivuko cha Mv Ukara ndani ya Ziwa Victoria leo tarehe 12 October 2020 baada ya jana kuhailishwa zoezi.
Tags
BREAKING NEWS