"Sina kawaida kuchangia/ kuchambua kauli za Rais, lakini hii ya Tunduma imejirudia sana na kusababisha miguno. Kwamba, wana Tunduma wasibaguane kwa kuwa maendeleo hayana chama. Lakini wachague wagombea wa CCM. Endapo watachagua wengine basi maji hawataletewa"Askofu Benson Bagonza.
Tags
UCHAGUZI