FIFA has decided the Swiss club to pay € 10M (Tsh 27.2 billion) to Mazembe for the transfer of striker Meschak Elia Mazembe have not left the player and have said his agent is being blamed for changing the contract.
-----------------------------------------------------------------
FIFA imeamua Klabu hiyo ya Uswisi kulipa fidia ya € 10M (Tsh 27.2 Bil) kwa Mazembe kwa uhamisho wa mshambuliaji Meschak Elia Mazembe hawajamwacha mchezaji huyo na wamesema kwamba wakala wake analaumiwa kwa kubadilisha mkataba.
Tags
SPORTS