TAIFA STARS YAKUBALI KICHAPO DHIDI YA BURUNDI

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' imekubali kichapo cha goli 1-0 dhidi ya Burundi katikà mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliopigwa kwenye uwanja wa Benjamin Mkapa. Goli la Burundi katika mchezo huo limefugwa na Saidi Ntibazonkiza dakika ya 85'.






Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form