Mfalme mpya wa Kuwait ameapishwa bungeni leo wakati nchi hiyo ikijitayarisha kufanya mazishi ya kiongozi wa nchi hiyo Sheikh Sabah al-Ahmad al-Sabah, kiongozi muhimu wa eneo la ghuba ya Uarabuni ambaye amesaidia kuwaongoza watu wake kupitia katika miongo kadhaa ya misukosuko.
Tags
BREAKING NEWS