LADY JAYDEE AITWA BASATA KUTOKANA NA KUHAMASISHA UVUTAJI BANGI

Kaimu Afisa Habari na Mawasiliano wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) Godfrey Nago, amesema kupitia Mwanasheria wao tayari wamemtumia barua ya wito msanii mkongwe wa BongoFleva Jidejaydee kuhusu wimbo wake mpya ambao unadaiwa kuhamasisha uvutaji wa Bangi.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form