JOHN BOCCO ATAKOSEKANA KWENYE MCHEZO DHIDI YA BURUNDI

 Nahodha msaidizi wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars, John Bocco atakosekana katika kikosi kitakachoikabili Burundi Oktoba 11, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa. Kocha wa Taifa Stars Etienne Ndairagije amesema Bocco hayupo timamu kiafya kwahiyo hatokuwa sehemu ya kikosi.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form