Waziri wa Afya wa Uingereza, Nadine Dorries ameambukizwa Corona, na kuwa Mbunge wa kwanza Uingereza kuathirika na virusi hivyo
- Yuko karantini nyumbani kwake na anaendelea vizuri
- Aidha, Watu 6 wamefariki dunia Uingereza, na walioambukizwa wamefikia 382