Mkazi wa Nyamilamba Kwimba mkoani Mwanza, Helena Washera (19), anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kumnyonga mwanaye Abdallah Simon (miezi 9) hadi kufa, ili aolewe. Kamanda wa Polisi mkoani Mwanza Jumanne Muliro amesema, Helena alishirikiana na mpenzi wake kufanya kitendo hicho.
Tags
BREAKING NEWS