HomeBREAKING NEWS NDEGE YASHINDWA KUTUA JOMO KENYATTA AIRPORT byomie digital -Monday, March 16, 2020 Ndege ya Shirika la Kenya KQ 708 kutoka Lusaka Zambia kwenda Nairobi Kenya imetua kwa dharura jijini Arusha, Tanzania baada ya kushindwa kutua mara mbili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jomo Kenyatta Tags BREAKING NEWS Facebook Twitter Share:NDEGE YASHINDWA KUTUA JOMO KENYATTA AIRPORT Facebook Twitter WhatsApp Pinterest LinkedIn Reddit Tumblr Telegram Email