RONALDINHO ATIWA KIZUIZINI

Ronaldinho akipiga "selfie" na wafanyakazi wa ofisi ya Mwendesha Mashtaka wa Paraguay baadaya ya kuhojiwa. Nyota huyo wa zamani wa Brazil anaendelea kushikiliwa na polisi wa Paraguay kwa kuingia nchini humo akitumia pasipoti feki.
Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form