LIGI YA MPIRA WA KIKAPU KUSIMAMA KWA MUDA KUFUATIA MLIPUKO WA CORONA



Marekani imesitisha kwa muda Ligi ya Mpira wa Kikapu nchini humo (NBA), katika kupambana na kuenea kwa maambuziki ya Coronavirus. Hapo jana mchezaji mmoja wa Utah Jazz alikutwa na maambukizi ya ugonjwa huo.
Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form