HomeBREAKING NEWS SERILALI YAKAMATA WALIO JARIBU KUMUUA WAZIRI MKUU byomie digital -Wednesday, March 11, 2020 Serikali ya Sudan imesema imewakamata watuhumiwa waliohusika katika jaribio la kumuua Waziri Mkuu wa nchi hiyo, Abdalla Hamdok Timu ya usalama ya Marekani ilifika Khartoum na kushirikiana na wapelelezi wa Sudan kufanya uchunguzi juu ya tukio hilo. Tags BREAKING NEWS Facebook Twitter Share:SERILALI YAKAMATA WALIO JARIBU KUMUUA WAZIRI MKUU Facebook Twitter WhatsApp Pinterest LinkedIn Reddit Tumblr Telegram Email