MMILIKI WA TIMU YA OLYMPIAKOS ATHIBITIKA KUKUTWA NA CORONA

Mchezo wa Ligi Kuu ya England kati ya Man City na Arsenal uliokuwa ufanyike leo umeahirishwa baada ya mmiliki wa Olympiakos, Evangelos Marinakis kubainika kuwa na virusi vya corona. Marinakis alikutana na wachezaji wa Arsenal wakati wa mchezo wa #EuropaLeague dhidi ya Olympiakos
Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form