Home MAJALIWA APIGA MARUFUKU byomie digital -Wednesday, March 04, 2020 UPDATES:Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa amepiga marufuku shughuli zisizohusiana na taaluma kama ujenzi wa viwanda katika maeneo ya shule ili kutoa fursa kwa wanafunzi kuwa kwenye mazingira mazuri ya kujifunzia. Facebook Twitter Share:MAJALIWA APIGA MARUFUKU Facebook Twitter WhatsApp Pinterest LinkedIn Reddit Tumblr Telegram Email