Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limetangaza kuwa utaratibu wa wachezaji kupeana mikono kabla ya mechi hautatumika kwa sasa, badala yake watasalimiana kwa ishara tu. Hatua hiyo ni utekelezaji wa ushauri wa Wizara ya Afya ikiwa ni njia ya kujikinga dhidi ya virusi vya corona.

Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form