DOKTA SHEIN AZINDUA KITABU CHA MWALIMU BORA WA SOKA

Rais wa Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akinyanyua kitabu cha “Mwalimu Bora wa Soka”baada ya kukizindua katika hafla iliyofanyika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul Wakil Mnazi Mmoja Zanzibar ambacho kimeandikwa na Mwenyekiti wa Kamati ya Olimpik Tanzania,Kocha Gulam Abdalla




Pia  Dk.Ali Shein ametoa hutuba yake kwa wananchi na wanamichezo katika hafla ya uzinduzi wa Kitabu cha Kocha Bora uliofanyika leo Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul Wakil Mnazi Mmoja Wilaya ya Mjini Mkoa wa Mjini Magharibi.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form