KAMPENI ZA TUNDU LISSU KUENDELEA MKOANI SINGIDA

Mgombea wa Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA, Tundu Lissu anatarajia kuendelea na kampeni zake mkoani Singida baada ya adhabu ya siku saba aliyokuwa amepewa kumalizika Oktoba 9, 2020. Lissu alifungiwa kufanya kampeni kwa siku saba kutokana kukiuka maadili ya uchaguzi.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form