Leo mrembo Zari The Bosslady anasherekea miaka kadhaa ya kuzaliwa kwake.
Kwa mujibu wa mtandao Zari anatimiza umri wa miaka 40, mrembo huyo alizaliwa September 23, 1980 Jinja nchini Uganda.
Chini ni picha alizozichapisha Zari leo kwenye mitandaoni yake ya kijamii kwa ajili ya siku hii muhimu kwake.
Ikumbukwe Zari The Bosslady ambaye ni rais wa Uganda anaishi na familia yake nchini Afrika Kusini na amejizolea umaarufu mkubwa kwenye mitandao ya kijamii eneo la Afrika Mashariki, huku akiwa na wafuasi (followers) zaidi ya Milioni 8.2 kwenye mtandao wa Instagram pekee.
Tags
BREAKING NEWS