RAIS MAGUFULI AWAFUTA MACHOZI UVCCM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, JOHN MAGUFULI, ametuma salamu za rambirambi pamoja pesa taslimu Sh. Milioni 5 kwa familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa wanafunzi wa Vyuo na Vyuo Vikuu, UVCCM Mkoa wa Iringa Ndg. Emmanuel Mlelwa aliyeuawa.



Pia kupitia kwa katibu wa NEC Uchumi na Fedha wa Dkt.Frank Hawasi, ameagiza vyombo vya Dola mkoani Njombe kuwabaini na kuwachukulia hatua wote waliohusika na mauaji ya Mwenyekiti wa uvccm_vyuoni Ndg. Emmanuel Mlelwa.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form