Hii ni baada ya uvumi ulioenezwa kuhusu ugomvi unaozushwa kutokea huko Arusha wakati wa maandalizi ya ngao ya Jamii, baina ya mshambuliaji wao Meddie Kagere na kocha mkuu Sven Vandenbroeck, ameandika
unaposema kitu kama chombo cha habari lazima uwe na uthibitisho nacho, kwa ukubwa wetu na kwa mujibu wa majukumu yangu, ukituzushia tegemea kushukiwa kwa ukubwa ule ule wa Simba SC, Simba ishavuka ktk brand ni baba yake huyo brand mwenyew, So ktk hili hatutacheka na mtu.
am sorry ndugu zangu,,,kila mmoja alinde kazi na taasisi yake,,Nadhani tumeelewane Wakubwa zangu, Alimalizia.
Tags
SPORTS