RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI TAWIRI

 Rais Magufuli amemteua Dkt.Eblate Mjingo kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori (TAWIRI) akichukua nafasi iliyoachwa na Dkt.Simon Mduma ambaye amestaafu, kabla ya uteuzi Mjingo alikuwa Mkuu wa Kitengo cha Tiba ya Wanyamapori na Huduma za Maabara wa TAWIRI.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form