Aliyekuwa kocha wa Simba SC Patrick Aussems anahusishwa na kujiunga na klabu ya Zesco United FC ya nchini Zambia, inaelezwa kuwa wapo kwenye mazungumzo ya awali ili aweze kuchukua nafasi ya George Lwandamina ambaye ameondoka klabuni hapo.
Akiwa Simba, PatrickAussems alitwaa ubingwa wa VPL x 1, FA Cup x 1, Ngao ya Jamii x 2 pamoja na kuifikisha Simba SC
hatua ya Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa barani Afrika.
Tags
SPORTS