Tume ya Madini imetangazwa kuwa mshindi wa kwanza kwa upande wa Taasisi wezeshi za serikali kwenye sekta ya madini kwenye kilele cha maonesho ya tatu ya teknolojia na uwekezaji kwenye sekta ya madini yaliyofanyika kuanzia Septemba 17- 27, 2020, mkoani Geita.
Tags
BREAKING NEWS