RUSHWA YA NGONO YAMPONZA MWALIMU

 Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Nyeregete wilayani Mbarali Adelhard Mjingo mwenye umri wa miaka 44, anashikiliwa na TAKUKURU mkoa wa Mbeya kwa tuhuma za kuomba rushwa ya ngono kwa mwanafunzi wa darasa la 7 wa miaka 14 kwa ahadi ya kumsaidia kimasomo.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form