WALIO HUSIKA NA MAUAJI WATIWA NGUVUNI

 Watu wawili wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Njombe kwa tuhuma ya mauaji ya kada wa CCM na Mwenyekiti wa UVCCM, Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Iringa, Emmanuel Mlelwa aliyeuawa na kutambuliwa siku 6 baada ya kifo chake.



Post a Comment

Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post

Disqus Shortname

sigma2

Contact Form